Saturday, December 10, 2011

TANGAZO KWA MODALS WOTE

Kama wewe ni modal na unataka kuajiriwa moja kwa moja karibu ofosini kwetu masaki'.utaajiriwa kulingana na masharti yetu,hatubagui wala hatuna upendeleo wote mnakaribishwa,kwa mawasiliano piga simu no 0712537258 au 0685651518 karibuni wote tunachukua modals wa kila aina wenye vigezo watapewa kipaumbele zaidi

Tuesday, August 30, 2011

JE UNAWAJUA WADADA WENYE MVUTO TANZANIA?

 Agnes huyu ni mdada wa kipekee ni mzur hakuna

 je wajua kama alishawahi kusema kuwa hawezi kutembea kwa daladala
 kutokana na uzuri wake?kuwa akisimama lituoni kwasababu ya uzuri wake anapata lift?

je wajua ameshagawa penzi kwa watu mmarufu wangapi?wasiokuwa maarufu wangapi?wenye hela wangapi?wasiokuwa na hela wangapi?

je wajua tabia yake ni nzuri na anafaa kuolewa?


sasa anatoka na kijana mmoja ambaye hana hata jina katika nchi hiii,,,,,,,ukweli jamaa anafaidi tunda lililoumbwa vyema na mungu



kama unajua story zake plz wasiliana nasi kupitia comment hapo chini
Dada anaefuatia ni

PRIVA AWAZIA NAMNA YA KUMPATA MWANAMKE ATAKAE MZALIA MTOTO

Napata tabu kuwaza mtoto wangu atakuwaje pindi nitakapo zaa na mama mwenye sura ya kawaida?pia huwaza mtoto wangu atakuwaje nikizaa na mama mzuri,mwenye sura nzuri ,umbo zuri,tabia nzuri,mcheshi,anaejipenda pia mwenye mapenzi ya kweli

cheki baba



vipi kama nikizaa na huyu



na huyu je?